Numbers 27:5-7

5 aKwa hiyo Musa akalileta shauri lao mbele za Bwana, 6naye Bwana akamwambia Musa, 7 b“Wanachosema binti za Selofehadi ni sawa. Ni lazima kwa hakika uwape milki kama urithi miongoni mwa ndugu za baba yao, na kubadili urithi wa baba yao uwe wao.

Copyright information for SwhKC